uhuru wa msumbiji
Balozi wa msumbji nchini Tanzania Amour Zacarias Kupela akizungumza na waandishi wa habari kuhusu siku ya uhuru wa msumbiji ambao unaadhimishwa kesho tarehe 25/06/09 ambapo walipata uhuru mwaka 1975 kwa vita ambavyo vilianza mwaka 1962-1975
lisungu_chisara@yahoo.com
TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA
No comments:
Post a Comment