HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

29 November 2012

Ronaldo, Iniesta na Messi WAMETANGAZWA KUWANIA TUZO YA FIFA Ballon d’Or 2012


Watakao wania tuzo ya mwanasoka Bora wa Dunia ya  FIFA Ballon d’Or  kwa mwaka  2012 na kwa wanawake wametangazwa leo hii huko   Anhembi  Sao Paulo.
Ambapo Rais wa FIFA  Joseph S. Blatter, Katibu mkuu wa fifa   Jérôme Valcke, Mkuu wa jarida la L’Equipe na mkuu wa soka la ufaransa  François Morinière, na mchezaji mahiri raia wa Brazil  Ronaldo Luiz Antonio Nazalia De Lima  na Marta, ambaye aliwahi kushinda tuzo hiyo walihudhuria .

Wakiwatajwa kiherufi na kimpangillio  watakao wania tuzo hiyo ya FIFA Ballon d’Or  Ni Cristiano RONALDO, Ureno (Real Madrid )  , Andres INIESTA, Uispania  na  Lionel MESSI, Argentina, wakati  MARTA, Kutoka Brazil, Alex MORGAN, Kutoka USA na  Abby WAMBACH, kutoka  USA wao watashindania kwa upande wa wanawake .

kwa upande wa Makocha  wanaume  ni : Vicente DEL BOSQUE, Uispania, Pep GUARDIOLA, Uispania (FC Barcelona) na  Jose MOURINHO, Kutoka Ureno  (Real Madrid)  kwa upande wa  wanawake  Bruno BINI, Ufaransa , Norio SASAKI, Japan (Japan) na , Pia SUNDHAGE, raia wa  Sweden  akifundisha (USA) .

Wachezaji wengine watatu wanaowania goli zuri zaidi kwa maana ya tuzo ya   FIFA Puskás : FALCAO alifunga goli katika mechi kati ya  (América de Cali-Atletico Madrid, 19 May 2012), NEYMAR  kati ya (Santos dhidi -Internacional, 7 March 2012) na  Miroslav STOCH kati ya  (Fenerbahçe dhidi -Gençlerbirliği, 3 March 2012).

Washindi watapewa zawadi zao katika makao makuu ya  FIFA Ballon d’Or Gala huko  Kongresshaus  Zurich Tarehe 7 January 2013 zawadi nyingine ni Uuungwana Michezoni FAIR PLAY na Tuzo ya Heshima rais wa fifa 

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers