HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

10 April 2013

BARCELONA NDANI JUVE NJE BAYERN NDANI PSG NJE

Barca's Andres Iniesta is surrounded by PSG players  


Lionel Messi akitokea kwenye benchi alileta changamoto kwa wachezaji wenzake na kufanikiwa kuingia hatua nusu fainali kwa sheria ya goli la ugenini .

Javier Pastore's alifunga zuri katika kipindi cha pili na kusomeka matokeo ya  3-2 kwa jumla  .
  lakini Messi,ambaye alikuwa anauguza maumivu ya msul alihusika katika utengenezaji wa goli alilofunga Pedro baada ya kuachia bakora katika mita  15 .
Franck Ribery
Mario Mandzukic amefunga magoli mawili wakati bayern ilipoifunga  Juventus na kuingia hatua ya nusu fainali 

Juventus 0
Bayern Munich 2
Mandzukic 64′ Pizarro 90′

  • FT 90 +3
  • HT 0-0
  • (agg 0 - 4)

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers